Bidhaa bora na za kisasa mjini Dar es Salaam
Karibuni sana Duka letu la DonniestoreTZ ujipatie bidhaa bora mjini Daslam. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Kongo na Narungombe. Ukishashuka mwendo kasi wa Msimbazi ukaingia mtaa wa Narungombe moja kwa moja hadi ghorofa la kwanza unakua ushafika.
Angalia bidhaa zetu zilizopo dukani:
Tuna furaha kukusaidia! Tupigie simu au tuandikie ujumbe kupitia: